Monday, October 22, 2012

                                          This is Shinyanga Maarifa Centre located at place known as Mazingira centre
                                           nearby Shinyanga regional police block.


                  These are ICTs participant at Maarifa Centre.

Friday, October 5, 2012

WHO WE ARE


Arid Lands Information Network is an International NGO that facilitate information and knowledge exchange between extension workers of arid lands communities in Kenya,Uganda and Tanzania .The information exchange activities focus on small scale agriculture ,climate change adaptation natural resource management and other livelihood issues through MAARIFA CENTRE(KNOWLEDGE CENTRE). 

 Shinyanga Maarifa Centre is one of ALIN branches which located at Shinyanga town near by Shinyanga regional Police block (Mazingira Centre) in Tanzania.The centre was started on 2007 between two collaboration institution Arid Land Information Network(ALIN) based in Nairobi (Kenya)and Natural Forest Resource Management and Agro Forestry Centre (NAFRAC) based in Shinyanga(Tanzania).

OUR VISION:
Enabling Access,Creating Knowledge and Empowering People

MISSION:
To improve the livelihoods of arid land communities in East Africa through delivery of practical information using modern technologies. 

Friday, August 24, 2012

AKINA MAMA WAKIWA WANATENGENEZA MPUNGA KATIKA KIJIJI CHA BULIMA WAKATI NIMEENDA KUTEMBELEA VIKUNDI VYA KINAMAMA

MISS LEAH AKIFATILIA MAFUNDI WANACHOKIFANYA

JIKO SANIFU LINALOTUMIA KUNI MBILI TU

NAMNA JIKO SANIFU LINAVYO ANZA KUJENGWA NA HAO NDIYO MAFUNDI(LOCAL ARTISAN)

Jiko sanifu ni moja kati ya mikakati ya kupunguza matumizi ya vyanzo vikubwa vya nishati kwani jiko hili linatumia kuni mbili tu(firewood) kwa kupika chakula na kikaiva hivyo basi kwa  mtu anayetumia jiko hili sanifu(IMPROVE COOK STOVE) atatumia kuni tano tu kwa siku . hivyo basi ili tuweze kuondikana na uharibifu wa misitu na ukataji wa miti ovyo tembelea kituo chetu cha maarifa centre kwa ushauri na maelezo zaidi juu ya matumizi na faida ya kutumia jiko sanifu.
 Lakini moja kubwa ni kupunza vifo vya akina mama wanaotumia mafiga matatu yanayowasababishia macho kuwa mekundu na kuuitwa wachawi hadi kupelekea kuuwawa kikatili kwa imani za kishirikina.
Ona kina mama hawa wanatumia majiko sanaifu wakiwa wanatengeneza mazao ili wakapike wakiwa wamejaa furaha.

SENSA YA WATU NA MAKAZI INATARAJIWA KUANZA TAREHE 26.AUGUST.2012 HADI 2.SEPTEMBA 2012

Tanzania inatarajia kuhesabu watu na makazi yao ili kupata takwimu za wananchi wote walioko nchini (TANZANIA) ili kupanga maendeleo yanayo endana na idadi ya watu walioko nchini .
Hivyo basi watu wote waliokoTanzania na wasio raia wa Tanzania watahesabiwa .
Sensa kwa maendeleo ya Taifa wananchi wote mnaombwa kutoa ushirikiano wenu kwa makarani wa sensa.

MAFUNDI WASHI WAKIWA WANACHANGANYA MCHANGA NA CEMENT

MTAMBO WA BIOGAS(BIOGESI)

Ni moja kati ya majiko ambayo shinyanga maarifa centre mtambo unaotumia kinyesi cha ng'ombe ambao baada ya kutengeneza gesi mtambo huu unaweza kuwasha taa tatu 3.
10 CAL ARTISAN(MAFUNDI WASHI) WAMEPATIWA MAFUNZO YA KUJENGA NA KUTUMIA MAJIKO SANIFU KUTOKA SHINYANGA MAARIFA CETRE KWA USHIRIKIANO NA KITUO CHA NISHATI MBADALA(TaTEDO) .MAFUNZO YALIFANYAKIA KATIKA KIJIJI CHA BULIMA.
Mafunzo haya yanalenga wanachama wa ALIN na mafundi washi ili kuondokana au kupunguza uharibifu wa mazingira hasa ukataji wa miti kwa ajili ya vyanzo vya nishati
 kwa matumizi ya mkulima kijijini anatumia  mikokoteni mitatu inayovutwa na ng'ombe kwa  hali ambayo ikiendelea kutakuwa na uharibifu  mkubwa wa misitu na kusababisha kuwepo kwa mabadiliko ya tabia nchi

Tuesday, April 17, 2012

 Library and Access point
 ICT training chamber and the training is proceeding .
Huu ndio muonekana wa kituo cha Maarifa centre ndani ya kituo chetu kwani tumetenganisha sehenu ya kuendeshea mafunzo ya kompyuta(ICT training) na Access point (sehemu ya huduma ya internet) na huu ndio muonekano wake.Mabadiliko haya yamefanywa kwa ushirikiano wa The Team from ALIN akiwemo Noah Lusaka( Project Manager),Kibe na Tonny bila kumsahau Msimamizi wa kituo (FIELD OFFICER) .
Willison Malongo  (Aliyevaa Kofia ):mafunzo ya kompyuta ni mazuri sana na yamenisaidia katika kuboresha kazi yangu na sasa hivi nafundisha wanafunzi wa chuo cha Uwalimu SHYCOM kozi ya Kompyuta hivyo basi sio tu nimejifunza kutumia kompyuta badala yake nimepata kazi ya kufundisha kwani pamoja  na hali yangu ya kutumia mkono mmoja sikukata tamaa na ninaishi na kufanya kazi kama mtu mwingine aliye na viungo vyake vyote.Nashukuru sana Kituo cha Shinyanga Maarifa Centre kwa kutupatia elimu  hii ya kompyuta tena bila gharama yoyote .Bila kuwasahau ALIN TEAM iliyokuja wanaoendelea kusaidia vifaa vya kufundishia zikiwemo Computer(IVENNO).
Kifo cha Muigizaji nguli wa Tanzania Marehemu Steven Charles Kanumba aliyefariki usiku wa kuamkia jumamosi ya tarehe  07.04.2012 amezikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar-esalam siku ya 10.04.2012.
Marehemu Kanumba alizaliwa 08.01.2012 katika hospitali ya mkoa wa shinyanga alisoma shule ya msingi Bugoi iliyoko shinyanga njini kilometa 5 kutoka kituo cha maarifa centre na badae kujiunga na shule ya sekondari Mwadui Sekondari ndipo alipohamia jijini Dar-esalam na kujiunga na kituo cha mafunzo ya sanaa KAOLE GROUP ndipo maisaha ya uigizaji ya Marahemu Kanumba .Steven Kanuba anefariki akiwa na umri wa miaka 28 hadi mauti imekuta hajaacha mke wala mtoto.Filamu zitakazo kumbukwa na pamoja na Uncle JJ,
Young Billionaire,King of Devil .nk Kiukweli ni pigo kwa nhi ya Tanzania na Kwa tasinia ya Sanaa nchini Tanzania  je wewe unamjuaje Marehemu Steven Kanumba?????????????????  
Moja kati ya huduma zitolewazo kwa jamii bila gharama yoyote ni pamoja na huduma ya Maktaba hii imetokana na mahitaji ya wakazi wa Shinyanga walioko karibu na Kituo cha Maarifa Centre na kituo hiki kimesaidia wanafunzi wa chuo cha afya (HEALTH COLLAGE) kilichopo Kolandoto Shinyanga nje kidogo umbali wa kilometa 15 kutoka Kituo cha Maarifa Centre.
Henri Thomas (21)ambaye ni mwanafunzi wa chuo hicho ametumia kituo chetu hasa kujisomea vitabu tulivyonavyo ambavyo tuho navyo na amefaulu katika somo ambalo alikuwa linamsumbua (ANATOMY) ambalo alikuwa akipata alama 56% hadi 85%.

Hakuna kitu kinachoshindikana katika ulimwengu wa kompyuta kwani hata mzee Willison Malongo(56) huyu mwenye ulemavu wa mkono amejifunza kompyuta na  anaweza kutumia kompyuta tena kuliko mtu asiye na ulemavu.na amepata kazi ya kufundisha kompyuta katika chuo cha walimu shinyanga(SHYCOM).

Saturday, March 10, 2012

The doctors strike in Tanzania is proceeding its four day since the doctor announcing for strike if the government will refuse their request of the minister of health Dr Mponda and deput minister Dr Nkya to move from ministry for futher investigation of finding solution for the first doctors strike  for the government hospitals and the pesernt  are now moving from the government hospital to private hospital seeking for treatment .Now my question is the government of Tanzania does not see this and take as disaster to the country?

Thursday, January 5, 2012

SHINYANGA NA KIWANGO CHA ELIMU TUNACHOKITAKA(SHINYANGA WITH EDUCATION LEVEL WE WANT

Baada ya matokeo mabaya ya mitihani kwa wahitimu wa shule za msingi na sekondari kituo cha kupashana habari SHINYANGA MAARIFA CENTRE kinatoa huduma ya maktaba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa masomo yote bila gharama yoyote hivyo wanafunzi wote mnakaribishwa kwa kukitumia kituo cha maarifa centre tutaongeza idadi ya ufaulu wa wanafunzi mashuleni ukizingatia changamoto nyingi zinazozikabili shule za kata maarufu kama YEBOYEBO .pia kituo cha maarifa centre kinampango wa kupanua wigo katika kuongeza maarifa kwa jamii kwa kuwapatia mafunzo ya kompyuta bila gharama yoyote ile hivyo watu wote mnakaribishwa.